Mwanafunzi Samson Mbena (24), aliyejinyonga usiku wa kuamkia jumapili .
Wanafunzi wa mwaka wa tatu katika chuo kikuu kishiriki cha ushirika na biashara(MUCCoBS)waliokuwa wakisoma na marehemu Sam,wakiwa katika mavazi ya maombolezo.wakati wa kuuaga mwili wa mwenzao katika ukumbi wa Nyerere chuoni hapo.
Kwa habari kamili na picha zaidi toka kwa
Samson,natamani ungekosea number ukanipigia simu mimi na kunieleza yaliyokusibu kabla hujafanya uamuzi wa kujinyonga..naamini ungesikia ya yanayonisibu mie usingaliamua kujiua. R.I.P
ReplyDeleteMichu, hivi hao polisi wamethibitisha kweli kuwa amajinyonga? Je haiwezekani kuwa aliuawa kisha akawekwa hapo mtini kwenye kamba? au je Hauiwezekani kuwa alinyongwa na watu wengine?
ReplyDeleteWe mdau wa kwanza the issue of suicide is not that straight forward, it is not about you, it is about the "subject" being in a deep state of desperation, ndo maana hata the best Pyschiatrist can not predict with 100% certainty about who will commit suicide, inasikitisha saana.
ReplyDeleteNi mipango ya MWENYEZI LAKINI NI MAAMUZI MABAYA KUFANYA MTU HASA KIJANA!!!
ReplyDelete