Mwanamuziki nguli wa dansi Barani Afrika, JB Mpiana (mwenye kofia) akiongoza na baadhi ya wenyeji wake pamoja na wanamuziki wa Bendi yake ya Wenge BCBG wakati wakiwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere,jijini Dar es Salaam usiku huu. JB Mpiana na Bendi yake ya Wenge BCBG wanatarajiwa kufanya Onyesho moja kubwa jijini Dar,Novemba 30,2012 kwenye Viwanja vya Leaders,Kinondoni jijini Dar.
Mwanamuziki nguli wa dansi Barani Afrika, JB Mpiana (mwenye kofia) akiongoza na Mwanamuziki mwingine Mkongwe hapa nchini,Ndanda Kosovo (mwenye shati nyeupe) wakati akiwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere,jijini Dar es Salaam usiku huu.
Mwanamuziki nguli wa dansi Barani Afrika, JB Mpiana akifanya mahojiano na Baadhi ya Waandishi wa Habari waliofika katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere,jijini Dar es Salaam usiku huu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. jamani hiyo airport ya uwanja wa ndege wa mwalimu mbona inatia aibu sana angalia kijimlango cha kutokea utasema mlango wa choo mlango mdogoo tena marangi yote kwishinei jamani aibu gani hii mwe!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...