Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia maelfu ya wanachama wa chama hicho wa mkoa wa Dar es salaam waliomwandalia hafla ya kumpongeza leo Novemba 18, 2012 katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam. 
Sehemu ya maelfu ya wanachama wa CCM wa mkoa wa Dar es salaam waliomwandalia hafla ya kumpongeza Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Mrisho Kikwete leo Novemba 18, 2012 katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...