Na Urban Pulse Creative
Taswira exclusive ya kumeremeta kwa Mhe. Naibu balozi wetu wa Uingereza kaka Chabaka Kilumanga na mchumba wake Irene Joel siku ya jumamosi tarehe 24.11.12 hapa jijini London.
Ndugu, jamaa na marafiki kibao walihudhuria sherehe hii ambayo ilifana sana.
Tunapenda kuwatakia kila la kheri katika safari yao mpya walioianza katika maisha ya ndoa.
Mungu azidi kuwabariki,
Asanteni.
Maharusi wakivalishana pete baada ya kula viapo
Dendazzzzz......
Maharusi wakikabidhiwa cheti cha kumeremeta
Maharusi wakifungua mziki kwenye mnuso wa kumeremeta kwo
Maharusi na wanafamilia
Maharusi katika picha ya pamoja na familia. Kutoka Kulia ni Mama wa Bwana harusi Kilumanga, Maharusi, Mama Irene na Dada wa bwana Harusi Mariam Kilumanga
![]() |
| Mashaaallah... |
Mh Chabaka akimlisha mai waifu wake Irene keki.
Timu nzima ya Globu ya Jamii nayo inatoa pongezi nyingi kwa kaka Chabaka na shemeji Irene kwa siku hii muhimu katika maisha yao. Ukiwa mmoja wa washauri wakuu wetu, na uliye tayari kutusaidia kwa hali na mali, kaka Chabaka, hatuna la kusema. Tumehemewa. Cha zaidi tunakutakia maisha mema na ya fanaka katika ndoa yenu hii...
- Michuzi
Timu nzima ya Globu ya Jamii nayo inatoa pongezi nyingi kwa kaka Chabaka na shemeji Irene kwa siku hii muhimu katika maisha yao. Ukiwa mmoja wa washauri wakuu wetu, na uliye tayari kutusaidia kwa hali na mali, kaka Chabaka, hatuna la kusema. Tumehemewa. Cha zaidi tunakutakia maisha mema na ya fanaka katika ndoa yenu hii...
- Michuzi





.jpg)





Wameremeta kweli, wamepndeza sana. Asante Michuzi, asante Urban Pulse kwa kutuletea uhondo huu. Keep it up ankal! Keep it Urban Pulse!
ReplyDeleteCongratulations Mhe. Kaka Chabaka & Shemeji Irene. We wish you happiness and good times.
ReplyDeleteMarizanga is your time . . . You are NEXT
Hongera sana kwa Harusi !!!
ReplyDeleteKitu kama hiki ni cha kuzingatia sana kwa kuwa wengi wanafikiri Ndoa ni jambo rahisi rahisi tu, inatokea mtu akachukua muda mrefu sana lakini siku ya siku mambo yakawa mambo!
KAKA CHABAKA HONGERA SANA,MUNGU AWAJALIE KILA LA KHERI.MMEPENDEZA SANA NA SASA KAKA KWENYE HAFLA UTAPENDEZA NA MRS.HONGERENI SANA.
ReplyDeleteHongera Balozi kwa ndoa!
ReplyDeleteHatumaye tumewakata ngebe wale domo wazi, ohhh Balozi yupo singo, ohhh ana Mchumba tu,
Nani kawaambia ya kuwa ndoa pekee ndio uadilifu wa mtu?
Hamuoni watu kibao waliopo ktk ndoa lakini bado ni Vicheche na Wakware kwa saana?
Kitendo cha Mhe. Raisi JK kumteua Ubalozi ni wazi yeye Mhe.Balozi ni safii na leo habari ndio hiyo!
Hongera! Hongera! Kila kheri.
ReplyDelete