Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na Uwezeshaji, Mhe. Mary Nagu (kulia) akiteta jambo na Mkurugenzi wa Wateja Wakubwa wa NMB Bw. Kees Verbeek pamoja na Meneja Mawasiliano wa NMB Bi. Josephine Kulwa katika hafla ya wawekezaji katika Kilimo iliyofanyika jiji Dar es Salaam

Waziri wa Kilimo, Chakula Ushirika na Masoko, Mhe. Christopher Chiza (kulia) akibadilishana mawazo na Mkurugenzi wa Wateja Wakubwa wa NMB, Bw. Kees Verbeek katika hafla hiyo.

Baadhi ya wawekezaji katika kilimo wakibadilishana mawazo na Mkurugenzi wa Wateja Wakubwa wa NMB, Bw. Kees Verbeek

Bw. Pal Stormorven wa YANA Tanzania akiteta jambo na Mwenyekiti wa SAGCOT Centre Ltd Bw. Salum Shamte .

Mwekezaji katika Kilimo (wa pili kushoto) Bw. Harish Dhutia akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi wa Wateja Wakubwa wa NMB, Bw. Kees Verbeek (kushoto) Maafisa wa benki Nancy Asman (kati) na Ezekiel Ligate pamoja na Meneja Mawasiliano wa NMB Bi. Josephine Kulwa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...