Meneja
Usambazaji wa Samsung Tanzania Bw. Syvester Manyara akionesha baadhi ya
simu aina ya Samsung Galaxy S III mbele ya Waandishi wa habari (hawapo
pichani),wakati wa Uzinduzi rasmi ofa maalum ya kipindi hiki cha Msimu
wa sikukuu ijulikanayo kama “Samsung Season’s Offer!”. Uzinduzi huu
umefanyika katika duka la Samsung lililoko Quality Centre, Dar Es
Salaam.Kulia ni Mkufunzi wa Kampuni ya Samsung Electronics hapa
nchini,Bw. Joel Laize
Home
Unlabelled
SAMSUNG YAZINDUA OFA YA MSIMU HUU WA SIKUKUU JIJINI DAR LEO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...