Meneja Usambazaji wa Samsung Tanzania Bw. Syvester Manyara akionesha baadhi ya simu aina ya Samsung Galaxy S III mbele ya Waandishi wa habari (hawapo pichani),wakati wa Uzinduzi rasmi ofa maalum ya kipindi hiki cha Msimu wa sikukuu ijulikanayo kama “Samsung Season’s Offer!”. Uzinduzi huu umefanyika katika duka la Samsung lililoko Quality Centre, Dar Es Salaam.Kulia ni Mkufunzi wa Kampuni ya Samsung Electronics hapa nchini,Bw. Joel Laize  

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...