Kocha wa Mchezo wa Masumbwi hapa nchini,Rajabu Mhamila 'Super D'  (kushoto) akimwelekeza mmoja wa vijana waliojitokeza katika mafunzo ya mchezo wa masumbwi, Roger Msami jinsi ya kumdhohofisha mpinzani wakati wa mchezo kwa kupangua ngumi zake kwa kiwiko wakati wa mazoezi yaliyofanyika kwenye ufukwe wa GYKHANA jijini Dar es salaam jana.
Kocha wa Mchezo wa Masumbwi hapa nchini,Rajabu Mhamila 'Super D' (kushoto) akimwelekeza bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' jinsi yakupangua ngumi za mpinzani wakati wa mazoezi yaliyofanyika kwenye ufukwe wa GYKHANA jijini Dar es salaam jana.
Kocha Rajabu Mhamila 'Super D' (kushoto) akimwelekeza bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' jinsi kupiga ngumi za tumbo huku akiwa ameingia ndani kwa mashambulizi zaidi wakati wa mazoezi yaliyofanyika kwenye ufukwe wa GYKHANA jijini Dar es salaam jana.
Kocha Rajabu Mhamila 'Super D'  akionyesha umahiri wake wa kurusha masumbwi wakati akiwaelekeza vijana waliojitokeza katika mazoezi jinsi ya kupiga ngumi za tumbo na kuingia ndani kwa mashambulizi zaidi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Katika mchezo huu ngumi haipanguliwi kwa kiwiko, Labda kama anafundisha karate. Ngumi nzito ikizuiliwa kwa kiwiko mkono wa mzuiaji utakufa ganzi!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...