Kufuatia kifo cha ndugu yetu, Fred Alex Mtoi, kilichotokea ghafla siku ya Ijumaa, 16 Nov 2012, London, mipango ya kusafirisha mwili wa marehemu kwenda Dar es salaam Tanzania kwa mizishi inafanyika.

Tunaowomba ndugu na jamaa kusaidia kwa michango yenu ya hali na mali ili tuweze kufanikisha kuupeleka mwili wa marehemu nyumbani.

Michango iwekwe kwenye 
ACC Number :10299068. 
SC:30-93-29 LLOYDS TSB BANK
Israel Saria.
Mratibu wa Mchakato wa 
kuusafirisha mwili wa marehemu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Tupo wote Saria, Mungu abariki kazi ya mikono yako.
    Wapi wazee wa kazi?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...