Keki ya Miaka mitano ya Tanzania Mitindo House.
Tanzania Mitindo House imefanya sherehe ya kusheherekea miaka mitano tangu kuanzishwa kwa kula chakula cha mchana na watoto yatima kutoka ‘Malaika Orphanage Center’ na ‘Umraa Orphanage Center’ katika kituo chao cha kuchezea watoto yatima kilichopomanispaa ya Temeke.Pichani Juu na Chini ni Watoto wakicheza michezo mbalimbali katika sehemu maalum ya Tanzania MitindoHouse Fun Centre. Sherehe hizo zimedhaminiwa nan KIONDO COMMUNICATIONS INTERNATIONAL, AMAYA BEAUTY SALOON NA AIM GROUP.
Pichani Juu na Chini ni Watoto wa Kituo cha kulelea watoto yatima cha Tanzania Mitindo House (wenye sare za mashati ya Vitenge vinavyotengenezwa na kiwanda cha Morogoro Polytex kilicho chini ya Makampuni ya MeTL) wakisakata Kabumbu walipojumuika na watoto wenzao wa vituo vingine katika kusheherekea miaka 5 ya kituo chao.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...