Home
Unlabelled
tutamkumbuka daima Dokta remmy ongalla
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Dr.REMMY (RIP),
ReplyDeleteMarehem alikubalika na jamii ya watanzania,alikua mwanamuziki aliyechinganya sana na jamii,muziki wake ulikua sauti ya wanyonge,angalia wapenzi wake wanacheza hadi katika mvua na kumkubali.
(RIP) Dr.Remmy
wadau
FFU
NAAM KATI YA WANAMUZIKI WALIOKUA WAKIKUBALIKA NI DR.REMMY. MTETEZI WA WANYONGE KUPITIA NYIMBO ZAKE. KWELI MAISHA MAFUPI SANA. MWENYEZIMUNGU AMUWEKE MAHALA ANAPOSTAHILI.. AMIN
ReplyDeleteDu nimeangalia mpaka mwisho kweli lemmy alikua kiboko tena alikua karibu mno na watu wa chini, cha ajabu alifariki akiwa hajaufaidi uraia wake aliokuja pewa mwishoni, hii ndio bongo mnaigeria anaingia leo baada ya wiki anapata uraia, wahindi wanaingia leo baada ya wiki wanapata uraia.
ReplyDelete