Wakongwe wa kukung'uta gitaa Afrika Ngouma Lokito kushoto na Lokasa ya Mbongo wakifanya vitu vyao usiku wa Mitindo Jumamosi huko Hampton Conference Centre Capitol Heights Md. Kundi zima la Supa Bakulutu lilifanya balaa.
Hafsa Kazinja a.k.a Queen of Zouk (E.A) na rapper na mcheza show 
Roikongo walitia fora. Picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...