Katibu Mkuu wa klabu ya waandishi wa habari Mkoa wa Arusha Eliya Mbonea (kushoto), akisaini nyaraka za makabidhiano ya vifaa mbalimbali vya ofisi kutoka kwa umoja wa klabu za waandishi wa habari nchini UTPC katika ofisi za chama hicho jijini Arusha. Anaeshuhudia kulia ni Mkurugenzi wa fedha na utawala wa UTPC, Jackson Uisso.
Mwenyekiti wa Klabu ya waandishi wa habari Mkoa wa Arusha, Claud Gwandu pamoja na Mkurugenzi wa fedha na utawala wa umoja wa vilabu ya waandishi wa habari nchini (UTPC), Jackson Uisso (kulia), wakikagua moja ya vifaa vilivyotolewa msaada na umoja huo kwa APC juzi jijini Arusha.Picha na Woinde Shizza - Globu ya Jamii,Arusha.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...