Mwakilishi wa NHIF na CHF Lindi Fortunata Kullaya akitoa elimu na uhamasishaji kwa wanachuo wa chuo cha ualimu Nachingwea kufahamu umuhimu wa kujiunga na Mfuko.
mratibu wa NHIF/CHF Abinery Mkanya kwa chuo cha ualimu Nachingwea akiwasilisha majina ya wanachama waliojiunga papo kwa papo kwenye meza ya uratibu wakati wa zoezi la uhamasishaji.
Mratibu wa CHF Wilaya ya Nachingwea Masiah Nyoni akifafanua maswali yaliyoulizwa kutoka kwa washiriki wa mafunzo ya elimu ya NHIF na Mifuko ya Afya ya Jamii (CHF) ambao ni wanachuo wa chuo cha ualimu Nachingwea (NTTC).
Fursa
ya kuuliza maswali na kutoa maoni yanayohusu changamoto na maboresho
katika NHIF na CHF yalitolewa,pichani ni Ally Ngilima mwanachuo wa mwaka
wa kwanza chuo cha ualimu Nachingwea akitoa maoni.
Veronika
Luanda akipewa maelekezo na mwakilishi wa NHIF Lindi Fortunata Kullaya
wakati wa utekelezaji wa mpango wa elimu kwa wanachama wa
NHIF,uliofanyika kwenye chuo cha Uuguzi Nachingwea (NTC).







Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...