Mkuu wa wilaya ya Ruangwa,Agness Hokororo akiwasalimia baadhi ya wagonjwa waliofanyiwa upasuaji wa macho bila malipo kwa udhamini wa Bilal Muslim Mission wilayani humo
Mbunge wa Jimbo la Ruangwa ambae pia ni Naibu waziri wa Tamisemi,Kassim Majaliwa akiwa na Bi Somoe Omary alipomtembelea katika hospital ya wilaya ya Ruangwa baada ya kufanyiwa upasuaji wa macho na
kuweza kuona baada ya kutoona kwa miaka 10
Bi Somoe Omary akifurahi baada ya kufanyiwa upasuaji na kuweza kuona baada ya kutoona kwa miaka 10
Bango la matangazo
Mbunge wa Ruangwa akiwa pamoja na Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ,Reubern Mfune wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wagonjwa waliotibiwa na kuweza kuona.
Picha zote na Abdulaziz Video
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...