Trela la lori lililokuwa limebeba mafuta likiteketea kwa moto mchana huu eneo la Kibamba Darajani jijini Dar es Salaam.haijafahamika mara moja chanzo kutokea kwa moto huo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Chanzo cha moto huo najua ni DEAL

    ReplyDelete
  2. lina mafuta? haiwezekani hapo wote wanaotazama tungeliwahesabu kama marehemu!

    ReplyDelete
  3. Deal tu lazima wsjanja wameshadownload mzigo wa transit kisha wakajilipua kimtindo! Nchi hii ns biashara ya mafuta hewa kuna kaazi kwelikweli

    ReplyDelete
  4. Hivi inaingia akilini kweli kuwa hilo lori lilikuwa na mafuta? Na likateketea lote? Na hao washangaaji wakaendelea kushangaa mpaka lita 15000 zote zinaungua?

    ReplyDelete
  5. -Tunalazimishwa na kuweka vizima moto kwenye magari yetu.
    -Tunafika mahali hata polisi na watu wa zima moto wanataka kutupiga. -Tunapotezewa muda wetu tukienda makazini kwa ajili y vizima moto
    -Tunavinunua kwa hao hao zima moto tukikutana na mapolisi tunaambiwa ni feki
    Tunalazimishwa kulipa faini na kama hatuna faini tunatakiwa tutoe rushwa, tunafanywa tuendelee kuwa masikini

    KUMBE VIZIMA MOTO VYENYEWE HAVIWEZI KUZIMA MOTO!

    ReplyDelete
  6. Jamani hivi haƄo kibamba kuna nini kwa nini ajali nyingi hutokea hapo?

    ReplyDelete
  7. Elimu ya tahadhari bado inahitaji kwa Tanzani, hao watu wapo karibu sana kama hiyo kitu ingelipuka tungekuwa tunazungumzia mengine mida hii.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...