Waziri wa Habari Utamaduni,Utalii na Michezo Saidi Ali Mbarouk akibadilishana mawazo na kaimu Mkuu wa Chuo cha Habari Rashid  Omar Kombo kabla ya kuzinduliwa Bodi mpya ya chuo hicho huko katika ukumbi wa Chuo hicho Vuga, Unguja
 Waziri wa Habari Utamaduni,Utalii na Michezo Saidi Ali Mbarouk akizungumza na wajumbe wapya wa Bodi hiyo hawapo pichani kulia yake ni mwenyekiti wa Bodi  Chande Omar Omar huko katika ukumbi wa Chuo hicho Vuga.
 Waziri wa Habari Utamaduni,Utalii na Michezo Saidi Ali Mbarouk akimkabidhi katiba Yusuf Omar Chunda mjumbe wa Bodi ya Chuo cha Habari Zanzibar ambae pia ni Mkurugenzi wa Habari maelezo Zanzibar huko katika ukumbi wa chuo hicho Vuga.

Picha ya pamoja ya wajumbe wapya wa Bodi hiyo wakiwa na Waziri wa Habari Utamaduni,Utalii na Michezo Saidi Ali Mbarouk. PICHA NA MAKAME MSHENGA-MAELEZO ZANZIBAR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...