Mhe. Mahadhi Juma Maalim (Mb), Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akisalimiana na Bibi Rima Yassine Khalaf, Mwakilishi wa Heshima wa Serikali ya Senegal nchini Tanzania walipokutana ofisini kwa Naibu Waziri leo.
Mhe. Naibu Waziri akimkabidhi Kibali Bibi Khalaf ili aweze kutekeleza majukumu yake ya Uwakilishi wa Heshima wa Serikali ya Senegal nchini Tanzania.
Mhe. Naibu Waziri na Bibi Khalaf wakiwa katika mazungumzo mara baada ya zoezi la makabidhiano ya Kibali kukamilika
Mazungumzo yakiendelea huku Bibi Mercy Kitonga wa kwanza kushoto na Bw. Celestine Kakele wa kwanza kulia, Maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje, wakisikiliza kwa makini. Picha na mpiganaji Ally Kondo wa  Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...