![]() |
Mhe. Naibu Waziri akimkabidhi Kibali Bibi Khalaf ili aweze kutekeleza majukumu yake ya Uwakilishi wa Heshima wa Serikali ya Senegal nchini Tanzania. |
![]() |
Mhe. Naibu Waziri na Bibi Khalaf wakiwa katika mazungumzo mara baada ya zoezi la makabidhiano ya Kibali kukamilika |
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...