Rais Kikwete akiwa mgeni rasmi katika mpambano wa soka wa ujirani Mwema kati ya mahasimu wakubwa katika hifadhi ya Taifa ya Serengeti, hoteli za kitalii za Four Seasons Safari Lodge na Serena Serengeti Lodge ambapo mshindi aliibuka Serena kwa mabao 5-4, baada ya kupigiana penati baada ya kutoka sare ya 1-1 katika dakika za kawaida.
Home
Unlabelled
JK mgeni rasmi mtanange wa watani wa jadi mbugani serengeti
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...