LENDA SILAS MABECHE
03/06/1970  -  28/12/2008
siku ,wiki,miezi na sasa ni miaka 4 tangia ututoke 28-12-2008,unakumbukwa sana na baba yako Silas Mabeche, Mama yako Grace Sambay,wadogo zako Eric,Irene,Sarah ,Evah na wanao Shawn na Baraka,kwa ucheshi,na upendo wako uliyokua nao,pia unakumbukwa na ndugu jamaa na marafiki na familia ya mabeche kwa ujumla
Bwana alitoa na bwana ametwaa ,jina lake lihimidiwe
AMEN

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Lenda tunakukumbuka kila siku,Tulikupenda ila bwana alikupenda zaidi, Rest in peace brother

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...