Naibu Waziri wa Fedha, Saada Mkuya, akifungua pazia kuashiria ufunguzi wa Jengo Jipya la Utawala la  Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA), Barabara ya Kilwa Dar es Salaam Desemba 22 -2012.
Wakufunzi wa Taasisi hiyo wakienda uwanjani.
Waadhiri wa Taasisi hiyo wakiandamana kwenda uwanjani tayari kwa hafla hiyo.
Naibu Waziri wa Fedha, Saada Mkuya (katikati), akiwa mbele ya jengo hilo baada ya kulifungua rasmi. Kulia kwake ni Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Taasisi hiyo Profesa Isaya Jairo na Mtendaji Mkuu wa Taasisi hiyo Shah Hanzuruni.
Hongereni sana!
Kikosi cha Bendi ya Jeshi la Magereza kikiongoza maandamano kuelekea uwanjani kwenye mahafali hayo.

Baadhi ya Wahitimu wakiwa kwenye mahafali hayo.
Wapiga picha wakichukua matukio mbalimbali ya mahafali hayo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...