Meneja masoko wa Kampuni ya Megatrade Investment ltd,Goodluck Kway akikabidhi msaada wa vifaa vya shule na chakula kwa ajili ya sikukuu za krismas na mwaka mpya kwa watoto wa kituo cha Kilimanjaro.
Mkurugenzi wa kituo cha kulelea watoto yatima na waishio katika mazingira magumu cha Kilimanjaro,Bw. Michael Mpombe (aliyeshika karatasi) akizungumza mara baada ya kupokea msaada wa vifaa vya shule na chakula kwa ajili ya siku kuu za Krismas na mwaka mpya kutoka kampuni ya Megatrade investment ltd ya jijini arusha.kulia kwake ni meneja masoko wa kampuni hiyo Goodluck Kway.shoto kwake ni Jafary Rashid ambao ni ofisa wa mauzo mkoa wa Kilimanjaro.
Watoto yatima na waishio katika kituo hicho wakimsiliza kwa makini meneja masoko wa kampuni ya Megatrade Investment ltd ya jijini Arusha ,hayupo pichani mara baada ya kuwakabidhi zawadi ya siku kuu za krismas na mwaka mpya.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...