Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Asante Ankal huu ndo muziki wa ukweli na siyo ule wa kopi pesti studio CD usiyo orijino.

    Mdau
    Muziki wa dansi

    ReplyDelete
  2. Baaabu kubwaaa, ilikua lini hiyo huko bongo? kalaga bao! sina habari atii.

    ReplyDelete
  3. wazee wa kariakoo hawa....good memory

    ReplyDelete
  4. si hivyo bwana>>>>> mpaka wazungu wanachenza nginde.. na sisi twaweza kabisaaa

    ReplyDelete
  5. Baabu kubwa,nakumbuka siku Papa wemba alipopinda kona kuona wazee wa kariakoo wanafanya kweli

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...