Ngoma ya 'Long Time' ya Mr Arrow ilikuwa kama wimbo wa taifa wa disko miaka ya 80. Ukipigwa lazima kila mtu asimame kucheza, wakati huo ilikuwa kutikisa kichwa na mabega....Acha!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Long time sijakula chips......

    ReplyDelete
  2. Mjomba namie nipo! Ila kati ya nyimbo zake tuliipenda zaid ile ya party people iliyoitwa HOT HOT HOT. hapo wanakosekana Wagadu Gu wakituletea Easy Dancing na Bunny Mack with My Sweety My Sugar. Blackmpingo

    ReplyDelete
  3. Duh Long Times naikumbuka mie ni Bw Mdogo saaaaaaaaana Rungwe Disco Toto najirusha mabreka.

    ReplyDelete
  4. kipepe ingia kati tucheze madansi ooh ooh long timeee!!! hahahaha UNCLE hio hata mimi mtoto wa 1980 nimeicheza. ngoma draw leo

    ReplyDelete
  5. nakumba wakati huo disco toto ymca RSV dj chris fabby the lover na super deo, uncle na camera yako una hustle umetoka mbali mpaka hapo ulipofika big up

    ReplyDelete
  6. Kurasini kuna party na mvua ilinyesha hahahahaa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...