Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Asiye na Wizara Maalumu, Profesa Mark Mwandosya (kushoto) akiwasili kwenye Uwanja mpya wa Ndege wa Songwe jijini Mbeya wakati alipokwenda kuutembelea na kuangalia jinsi utendaji kazi unavyoendelea.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Asiye na Wizara Maalumu, Profesa Mark Mwandosya (kushoto) akipokea maelezo kutoka kwa muongozaji wa Ndege aliopo uwanjani hapo.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Asiye na Wizara Maalumu, Profesa Mark Mwandosya na mkewe Mama Lucy Mwandosya wakiwa katika mazungumzo na viongozi wa Mamlaka za viawanja vya Ndege waliokuwepo uwanjani hapo.
Kibao kinachoonyesha ulipo uwanja wa Ndege huo.
Runway ya Uwanja wa Songwe inavyoonekana kutoka angani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Bango la songwe airport haliendani na hadhi ya uwanja....lol

    ReplyDelete
    Replies
    1. Sure, let the ministry declare it is an international airport and sell it outside. Later we will be complaining Kenyans are so aggressive. Let do it now!

      Delete
  2. Agree with the comments above!we need the Government to be firm on that coz missing the code Intenational will result into losing a lot....

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...