
"Tanzania Bila Maambukizi mapya, Unyanyapaa na vifo vitokanavyo na Ukimwi Inawezekana".


Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Tatizo ni Rais ana chagamoto na credibility.Kuhusu madawa na experiment kwa wagonjwa wa AIDS kwenye Jiji la Dar.Kama watalamu wake wameona necessary kwa Rais kupiga picha na Albino wakati uko Lindi basi wali kuwa wana fahamu kwamba mambo ya Uwaji wa Albino watu wegeneo wana amini una husiana na watu karibu na uongozi wake.Kwa nini Rais alifikiri kwamba akenda Lindi siku ya AIDS ita accomplish nini? Wakati serikali yake ni responsible kwenye tatizo la AIDS Dar? Kama siyo chuki basi nini?
ReplyDelete