Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea kitabu cha kumbukumbu ya miaka 50 ya Shirika la Bima la Taifa toka k Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wake Bw. Justine Mwandu leo Ikulu jijini Dar es salaam. Shirika hilo ambalo limefufuk upya linaadhimisha miaka 50 ya kuanzisha kwake mwakani.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipitia hati ya bima yake ya maisha baada ya kukabidhiwa na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa Bw. Justine Mwandu leo Ikulu jijini Dar es salaam. 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisomewa taarifa ya uongozi wa Shirika la Bima la Taifa baada ya kupokea hati ya bima yake ya maisha leo Ikulu jijini Dar es salaam.PICHA NA IKULU

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Kazi kweli kweli....haya mambo yanahitaji uzoefu

    ReplyDelete
  2. Hizi ni salamu kwa watanzania,kwamba,jamani kumbukeni kuchukua Bima ya Maisha,ije iwanufaishe wale utakao waacha nyuma!Maisha ya binadamu ni mafupi sana,hata uishi miaka 88,bado utafikiri ulizaliwa jana!Rais Kikwete,is not doing this just for fun,or for the sake of it,NO! anatukumbusha,kwamba,wakati sasa umefika,hususan,kwa vijana wanao anza maisha,young graduates etc etc., kwamba,its time you had A Life Insurance Cover!, watu wengine ni wagumu kuelewa mambo,mpaka umtafunie na umtumbukizie kinywani mwake,ndipo atakapo weza kumeza,la sivyo,....ataishia kunawa nawa tu mikono! nime eleweka? uliza usiogope!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...