Meneja wa Kampuni ya Kioo Ltd Bw.
Kishir, akipokea oda ya vinywaji vikali vya Johnnie Walker kutoka kwa balozi wa
vinywaji vikali wa Kampuni ya bia ya Serengeti Breweries Ltd baada ya kufanya
oda hiyo na kufungiwa kwenye mfumo mzuri wa zawadi. Hafla hiyo imefanyika
mapema leo katika ofisi za Kioo Ltd zilizopo Chang’ombe,jijini dar.
Kampeni hii ya kutoa zawadi za mwisho wa mwaka zinaendeshwa kwa msemo usemao
‘Say it Without Saying it’. Maana yake toa zawadi kwa uwapendao badala ya kusema
kwa maneno. Hivyo za wadi ya Johnnie Walker ndio muafaka kwa kipindihiki.
Home
Unlabelled
Say it Without Saying it.!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...