After a visit a week ago from the Ministry of Environment,
it was brought to the attention of the management that the water system
was malfunctioning.
Upon guidance from the Environment Management Council,
investigation took place that revealed the source of the defect.
The issue has been dealt with, and appropriate action
has been taken. The hotel is liaising closely with the Ministry of Environment
and other consultants to prevent the reoccurrence of this incident and
also find a permanent solution.
The management very much regrets this incidence and
thanks the Ministry of Environment for the advice and support it has
provided to the Doubletree in helping address this problem.
By
Double Tree Hotel Management
Nadhani dharau si jambo jema ninyi wenye ma hotel jitahidini kurekebisha makosa mnayoambiwa. Wahindi wanadharau fulani ambayo si nzuri. Nchi yetu inaheshimu taifa lolote ila kama hamtafuata masharti mnayopewa na kuyatekeleza basi mtaishia kwenye kufungiwa na kupotez wateja. Sidhani hata watej wenu watafurahia kuja mahaliambapo kuna shida kama hizo za system mbaya ya maji taka. JIREKEBISHENI ACHENI KUJIONA...
ReplyDeleteDoble Tree,
ReplyDeleteOK, we accept your apology,
We need Investors who respect and implement adherence of the hyiginenic and other operational formalities in every context of their operations.
Wow! The ministry of environment had to come and point out to YOU that YOUR water system isnt functioning? Are you serious? this is laughable, you guys arent serious. Fuateni sheria za nchi na mazingira na muache ujanja ujanja!!!
ReplyDeleteMbavu zangu miye...ujanja ujanja indeed! Yani wao walikuwa hawana macho mpaka minister awaonee. Lol
ReplyDeleteNafkiri uhalifu ni uhalifu suala la uhindi halitusaidii sana zaidi ya kasumba ambazo zina misingi ya chuki na ubaguzi mana hata wasio wahindi wanakosea. Muhimu tufuate sheria na kutimiza majukumu yetu vilivyo.
ReplyDeletejbmwinjuma