A/alaykum Kaka I.Michuzi!!!

 Mie ni yule yule mdau wa blog yako tukufu, Mr Adams Chuma wa Gothemborg Sweden, Leo nimekuja na jipya ingawaje kwako sio jipya ila kwa ndugu zetu wa Bongo wengi hawafahamu hali ya hewa ya Europe inavyokuwa katika kipindi hiki cha maandalizi ya X-mass.

 hapa nimepiga picha baadhi ili niwadokezee walau kwa kifupi hali ya hewa ilivyo tufikia mwaka huu, imekuwa ghafla bin vuu, hapo tarehe 01-12-2012, ilianza kuanguka theluji kuanzia usiku wa saa 3 hadi asubuhi tuliamka tunakuta kote kweupe hata majani yalifunikwa.

 leo hii tarehe nimefanikiwa kupata baadhi ya picture kutoka kwenye maeneo ninakoishi, kama hutajali basi naomba uziweke héwani na wa TZ wenzetu wafaidi angalau kwa macho haya tunayo yaona kwa dhahiri wala sio ndoto. 

WABILAH TAUFIQ

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. hii ndo gari yako?

    ReplyDelete
  2. pole ndugu yangu,uko gothenborg sehemu gani??mie mtanzania wenzako niko nje ya mji wa gothenborge,karibu xmas nyumbani...tuwasiliane kwa email krogtoftmakowa@yahoo.com

    ReplyDelete
  3. USIJALI TUNAJUA WEWE NI MBEBA BOX MZURI SANA,HIYO SNOW HUKO NJIANI UTAIBEBA KAMA OVERTIME.MDAU MLALE JKT.

    ReplyDelete
  4. Nawatakia Christmas Njema nyote

    ReplyDelete

  5. Idho baithkeli dhote dhako?

    ReplyDelete
  6. We ndio umefika au?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...