Baadhi ya Wadau wa habari na Watangazaji wa kipindi cha michezo kiitwacho Sporst Extra kupitia Clouds FM/TV Ibrahim Masoud a.k.a Maestro sambamba na Alex Luambano wakiwa ndani ya chumba chao cha habari Mikocheni jijini Dar,wakiaandaa kipindi chao cha spoti kinachoruka kila siku ya wiki kuanzia saa tatu kamili mpaka saa nne usiku,mbali ya Watangazaji hao pia kipindi hizo huwakutanisha mahiri wengine wa habari za michezo kama vile Shaffih Dauda,Mbwiga Mbwiguke na wengineo.
Home
Unlabelled
vijana wa sports extra wakiwa mzigoni.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...