Mwakilishi
Mkazi wa Taasis ya Kimataifa inayojihusisha na kuwasaidia
viziwi-wasioona nchini (SENSE INTERNATIONAL ) Christopher Andendekisye,
akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari wakati wa mafunzo juu ya shida
wanazozipata walemavu hao na namna ya kukabiliana na tatizo hilo
nchini sambamba na kujadili ukubwa wa tatizo pamoja na vyanzo vya
matatizohayo.
Afisa wa Mipango (CBR Program Officer) wa Taasisi ya Kimataifa Inayojihusisha na kuwasaidia Viziwiwasioona Benjamin Kihwele, akitoa mafunzo kwa waandishi wa habari waliohudhuria mafunzo juu ya shida wanazozipata viziwi-wasioona na namna ya kukabiliana nan a tatizo hilo nchini sambamba na kujadili ukubwa wa tatizo.
Baadhi
ya waandishi wa habari waliohudhuria mafunzo hayo ya siku moja leo
jijini Dar es Salaam wakifuatilia kwa makini ili kuweza kuelewa vizuri
mada zilizokuwa zikiwasilishwa kwenye semina hiyo.
Mwakilishi
Mkazi wa Taasisi ya Kimataifa ya Sense (aliyekaa) akiwaonyesha Video
Waandishi wahabari inayoonesha watoto viziwiwasioona na changamoto
wanazokabiliana nazo kwenye maisha ya kila siku. Waandishi walishitushwa
na changamoto zilizopo kwenye ulemavu wa aina hiyo na kuitaka serikali
kugeuzia macho kwenye utoaji huduma kwenye eneo hilo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...