Wadau Ellison Calvin Malyi na Jenipher John Njau wakijidai baada ya kumeremeta  tarehe 9 Dec. 2012 katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri la Kijitonyama ikifuatiwa na mnuso wa  kukata na shoka katika ukumbi wa Hellenic Club Upanga jijini Dar es salaam.
 Wawili wapendanao
Picha ya familia baada ya kumeremeta

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. Full kupendeza nimewakubali! Ni watanzania au? Hongereni sana!

    ReplyDelete
  2. kakaaaaaa safiiiiii white hongera mwana

    ReplyDelete
  3. watu wengine wanaropoka tu, kwani nani alikwambia wewe ya kwamba watanzania hawapendezi!

    ReplyDelete
  4. nimeipenda mlibuni sana mavaz Mungu awabariki ktk ndoa yenu

    ReplyDelete
  5. jamani mmependeza sanaaaa,jamaa kaoa model nini?

    ReplyDelete

  6. MEKUU UMEZIMKIA MPAKA UMEAMUA KUKAA CHINI HUTAKI KWENDA KOKOTE YAANI

    ReplyDelete
  7. MWANAUME UNAJUA KUPOZI WEWE,NATAMANI SANA KUPATA MWANAUME KAMA WEWE TENA UNAONEKANA UNA UPENDO WA KWELI.HONGERA DADA KUMPATA BWANA KAMA HUYU.MDAU LONDON.

    ReplyDelete
  8. HONGERENI MLIPENDEZA SAAAANA, NAWATAKIA MAISHA MAREFU YENYE UPENDO KATIKA NDOA YENU.HAKUNAGA KAMA JENIPHER. BABA PATRICIA - NETHERLANDS

    ReplyDelete
  9. Naona Jenipher unamvuta Elly mwende kucheza kombolela! Aaaah mlipendeza sana sana. Najuta kuikosa hii Harusi!Naona Mzee wa Mbarika unavutwa mkono ila unadeka kama hutaki vile! Hahahahahahahaha! Kila la heri katika maisha ya ndoa karibuni kwenye chama. Baba Patricia - Netherland's

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...