Meneja wa Bia ya Castle lager,Kabula Nshimo (katikati) akizungumza leo kwenye kikao na waandishi wa Habari kilichokuwa kikiwatangaza washindi wa Castle Lager Super Fan watakaokwenda kuiwakilisha Nchi kwenye fainali ya mataifa ya Afrika ambapo wataungana na washindi wa nchi nyingine kuunda timu ya ushangiliaji ya Afrika United Team.wengine pichani ni Washindi wa Castle Lager Super fan Yahaya Hamza toka mkoani Mwanza na Filbert Nestory toka Dar Es Salaam

Washindi wa Castle Lager Super fan Yahaya Hamza toka mkoani Mwanza na Filbert Nestory toka Dar Es Salaam wakiwa na Meneja wa Bia ya Castle lager,Kabula Nshimo (katikati) kwenye kikao na waandishi wa Habari kilichokuwa kikiwatangaza kuwa washindio na kujiandaa kuiwakilisha Nchi kwenye fainali ya mataifa ya Afrika ambapo wataungana na washindi wa nchi nyingine kuunda timu ya ushangiliaji ya Afrika United Team.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...