Wajumbe wa Baraza Kuu la Usalama wakiwa katika majadiliano ya wazi, yaliyohusu ulinzi wa amani, ujenzi wa amani na maendeleo, majadiliano hayo yamefanyika siku ya jumatatu na kufunguliwa na Katibu Mkuu Ban Ki Moon, Tanzania kupitia Mwakilishi wake wa Kudumu, Balozi Tuvako Manongi, imesisitiza Baraza hilo kuendelea kuunga mkono juhudi mbalimbali zinazolenga kurejesha amani ya kudumu katika DRC hususani eneo la Mashariki ya nchi hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...