Wajumbe wa Baraza Kuu la Usalama wakiwa katika majadiliano ya wazi, yaliyohusu ulinzi wa amani, ujenzi wa amani na maendeleo, majadiliano hayo yamefanyika siku ya jumatatu na kufunguliwa na Katibu Mkuu Ban Ki Moon, Tanzania kupitia Mwakilishi wake wa Kudumu, Balozi Tuvako Manongi, imesisitiza Baraza hilo kuendelea kuunga mkono juhudi mbalimbali zinazolenga kurejesha amani ya kudumu katika DRC hususani eneo la Mashariki ya nchi hiyo.
Home
Unlabelled
Baraza Kuu latakiwa kuunga mkono juhudi zakurejesha amani, DRC
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...