Baadhi watu waliokuwemo kwenye mashua hiyo wakijaribu kutafuta uelekeo mara baada ya mashua hiyo kuanza kuzama kwa sababu ambazo bado hazijajulikana. Bahati njema  baadae abiria wote waliokolewa na boti. Ajali hiyo imetokea  leo jioni  maeneo ya Kisiwa cha Chumbe, kati ya Dar es salaam na Unguja ambako Globu ya Jamii ilipita na kukutana na ajali hii ambayo hadi tunaruka hewani hakukuwa na habari ya mtu aliyepoteza maisha.
  Baadhi ya abiria katika mashua hiyo wakiokolewa  baada ya mashua yao kupoteza muelekeo. Kwa habari zaidi tuvute subira kidogo. Tutawaletea taarifa kamili itakapopatikana

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Hii sio mashua bwana ni Ngarawa..narudia Ngarawa sio ngalawa.

    ReplyDelete
  2. hahahaha NGARAWA. haijafika kua na hadhi ya MASHUA

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...