Mvua kubwa iliyonyesha mapema leo mjini Mtwara imepelekea mafuriko katika maeneo mbali mbali ya mji huu na kufanya wakazi wa maeneo haya kupata kuanza kuhangaika kuhamisha vitu vyao na wengine wakiwa hawajui la kufanya maana maji yamejaa mpaka majumbani mwao.Ni balaa kubwa la mafuriko ya maji Mtwara leo hasa eneo la Chuno. Eneo hili ni karibu na nyumba ya Mzee
Hokororo au Dr Mwakipa. Hali ni mbaya sana na maji yanaendelea kujaa hadi mchana huu.Hakuna taarifa yeyote mtu yeyote aliyepoteza
maisha. Msaada wa haraka unahitajika kwa wananchi hawa.Picha na Mdau Abdulaziz Video wa Globu ya Jamii,Mtwara.
Home
Unlabelled
Breaking nyuzzzzz......: Mafuriko yaukumba mji wa mtwara leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
oooh mafuriko ni moja ya rasilimali zao wana mtwara tusiwaingilie!
ReplyDeleteMkwere ameanza uchawi wake sasa. Hamtapona na gesi yenu...
ReplyDeleteWatavuna wlichopanda. Dar hakuna msaada, wauze gesi.
ReplyDeleteMafuriko ni mambo ya hali ya hewa tu, semeni yote lakini atimize kwanza madai yetu hata sisi uchawi tunao hatujali!
ReplyDeleteSerikali isiingilie wananchi wa mtwara na rasilimali yao ya mafuriko!
ReplyDeleteAyaaa kumbe kuna mafuriko pia? nilijua gesi pekee
ReplyDeletegesi ikisafirishwa kwenda dar itageuzwa maji, labda ndo maji yenyewe hayo yanasubiri bomba lilazwe from mtwara
ReplyDeleteAdhabu ni hapa hapa dadek!
ReplyDeleteNi majibu ya Mwenyezi kwa watu wa MTWARA kudai gesi yote ni ya kwenu wakati imetafutwa kwa Mabilioni Fedha ya mali za wakazi wa Mikoa mingine nchini!
ReplyDeleteKwanza kiasi kikubwa cha gesi 74.9% ipo baharini sio katika Mkoa wa Mtwara ninyi mna 14.3% tu!
Hivyo hayo mafuriko ni majibu ya Mwenyezi kwenu watu wa Mtwara kutaka kuwazika mali Watanzania wenzenu!