Mwaka 2013 NOKIA Wameboresha mambo  kwa kuweka lugha ya Kihaya kwenye simu na mambo yatakuwa  kama ifuatavyo:-
Phonebook EKITABO KYE SIMU
Names AMABALA
Time IZOBA
Ringtone EMYETO
Setting EMITEKANISO
Call KUTELA
Missed call ESIMU ETATOLWA
Receved call ESIMU EZATOLWA
Dilled call ESIMU EZATELWA
Game EMIZANO
Menu EBILIMU
Vibration EMICHUNDAIGUKO
 
Vipi situtaipenda?
FURAHIA ULIMWENGU MPYA WA DIGITAL..

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 14 mpaka sasa

  1. KUTELA NI SAWA NA KUTERERO SIO?

    ReplyDelete
  2. Hapana sio katerero, Katerero ni jina la kijiji wilaya ya muleba, kama unaelekea bandari ya pili ya ziwa victoria... ila ilitafsiriwa vibaya.

    ReplyDelete
  3. Hahahaha. We ni noma

    ReplyDelete
  4. Mimi sasa hivi ninaendelea kukonda kwa sababu sikuana kitu cha kuchekesha.

    ReplyDelete
  5. GOT "ZERO"

    ReplyDelete
  6. Sawa kwa Utani wa Jadi mimi Mzigua najibu mapigo ya Mtani wangu Mhaya kwa kutoa Nokia hiyo hiyo 2013 kwa Kizigua:

    .Phonebook-ICHITABU
    .Names-AMAZINA
    .Time-UMUDA
    .Ringtone-IMIILO
    .Setting-IVYO UKUIKIGWA
    .Call-TOWA
    .Missed call-ZISWESIZE
    .Received call-ZIHOKELWE
    .Dialed call-ZITOIGWE
    .Game-MISEZIGO
    .Menu-SAGULA
    .Vibration-MZINGIZO

    Mpo hapo?

    Mgosi wa Kaya na mimi nimejibu mapigo nami nataka NOKIA msambaze Dunia nzima kwa Lugha ya Kizigua.

    ReplyDelete
  7. Kwa Lugha za Jadi inawezekana!

    Tumeshuhudia Biblia zikiandikwa kwa lugha kama Kinyamwezi,Kigogo,Kihehe,Kinyakyusa,Kinyasa na lugha zingine Kibao sasa itakuwa katika Mzingo wa Biashara wa simu za Mikononi kwa lugha za makabila?

    Hii inawezekana kabisa kama tutapeleka Makao Makuu Nokia Finland, lakini kwa nia ya kukuza Utamaduni wa Makabila yetu na sio kuchochea Ukabila.

    Kutakuwa na MASHARITI YA TAFSIRI KWA LUGHA ZOTE hiyo iwepo pia ktk muundo huo wa simu kwa lugha za makabila mfano kutumia Google waweke translations ili wengi wajifunze lugha za makabila nchini.

    ReplyDelete
  8. Uncle weka na ya wasukuma, sukuma waa!

    ReplyDelete
  9. mzigua na mhaya watani toka lini? hebu tupisheee

    ReplyDelete
  10. Mtoa Maoni wa 9 Anonymous wa Thu Jan 10, 07:57:00 PM 2013

    ..Toa Ubishani kwa busra na sio Jazba hapa ni jamvi la Kistaarabua.

    Kwa kawaida Utani wa Jadi huenda Kikanda.

    Waliopo Kusini mara zote Watani wao wapo Kaskazini, na waliopo Mashariki Watani wao wapo Magharibi.

    Sasa kwa kuwa Mzigua yupo Mashariki ni wazi Mhaya aliyepo Magharibi (kama wajulikanavyo Wahaya wao ni watu wa Ziwa Magharibi) Mzigua atakuwa Mtani wake!

    ReplyDelete
  11. Wewe Mtoa Maoni wa nane 8 unatakiwa mwenyewe Uende Kiditali kwa kuweka hewani wewe Msukuma kwa lugha yako ili wana jamvi humu wajue...

    Yeye Uncle ni Balozi wa Jamvi letu, ukituma atarusha hewani!

    ReplyDelete
  12. na mimi msukuma natoa yangu

    Phonebook-SHITABO

    .Names-MALINA

    .Time-AMASAA

    .Ringtone-MALILILO

    .Setting-MABHEGEJO

    .Call-LILA

    .Missed call-LILA NJIMEJI

    .Received call-LILA MBOKELWA

    .Dialed call-LILA NTULWA

    .Game-LIGUSHA

    .Menu-BOCHOBI

    .Vibration- MIDETEMO

    HAPO VIPI???

    ReplyDelete
  13. Na mimi Mwarabu wa Zanzibari, lakini (Mwarabu mwana Mapinduzi) sio Mwarabu wa Uamsho tafadhali mnisamehe Wallahi msiniweke Kundi hilo, nami msiniweke nyuma Ki Digitali nawashukia kwa
    Lugha yangu ya Kiarabu !!!


    . دليل الهاتف،-PHONEBOOK
    . الأسماء-NAMES
    دوام-TIME
    . رنات-RINGTONE

    . وضع-SETTING
    . الحث-CALL
    . مكالمة فائتة-MISSED CALL
    وتلقى استدعاء-RECEIVED CALL
    . المكالمات الصادرة استدعاء
    DIALED CALL

    . لعبة-GAMES
    . القائمة،-MENU
    . الاهتزاز-VIBRATION

    Wallahi Nokia nafanya mimi mabata ushungu, mupo hapo mimi Malabu Bin Gobore Bunduk nasema?

    ReplyDelete
  14. Enheee Nokia kama ni suala la lugha za Makabila watavuna nyingi sana! k

    Kwa Makabila 126 ya Tanzania?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...