Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),Dkt. Wilbroad Slaa akipandisha bendera ya Chama kuashiria uzinduzi wa
tawi Jipya la CHADEMA Classic lililoko katika kata ya Longuo mjini Moshi.
Meya wa manispaa ya Moshi,Jafary Michael akizungumza wakati wa
uzinduzi wa tawi la Chadema Classic lililopo kata ya Longuo mjini
Moshi.
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),Dkt. Wilbroad Slaa akikata utepe wakati akizindua tawi la vijana wa CHADEMA la Aslam Garage mjini Moshi.
Diwani wa viti maalum,Hawa Mushi akizungumza wakati wa uzinduzi wa
tawi la vijana wa Chadema katika eneo la Aslam Garage mjini Moshi.
Mwenyekiti wa Baraza kuu la vijana wa Chadema (BAVICHA),John Heche
akizungumza wakati wa uzinduzi wa tawi la Chadema classic lililopo
kata ya Longuo B mjini Moshi.Picha na Dixon Busagaga wa globu ya jamii Moshi.
Kidumeeeeeeeeeeeeeee! watu haaaaaaaaaaaaaaa! mtalia sana mwaka huu wenye vijiba vua toho! sauti ya wengi ni sauti ya Mungu! People's pawaaaaaaaaaaaaaaaa!
ReplyDeletechalema !
ReplyDeletehuyu slaaa anapenda ushabiki huyuuuu!hatutaki rais mzeee..period
ReplyDelete