Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar,na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Viongozi wa Tawi la CCM Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui,wakiwemo Viongozi wa Jumuiya mbali mbali za Chama hicho katika ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar leo,MakamuMwenyekiti alifanya ziara maalum ya kusalimana na Viongozi hao ikiwa ni pamoja na kuimarisha Chama cha Mapinduzi,(CCM) (kulia) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai,na (kushoto) Mwenyekiti wa Tawi Nadra Juma Mohamed.
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar,na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(wapili kulia) akizungumza na Viongozi wa Tawi la CCM Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui,wakiwemo Viongozi wa Jumuiya mbali mbali za Chama hicho katika ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar leo,Makamu Mwenyekiti alifanya ziara maalum ya kusalimana na Viongozi hao ikiwa ni pamoja na kuimarisha Chama cha Mapinduzi,(CCM) (kulia) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai, [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Habari

    Kaka Michuzi mimi ni Awila Silla mwandishi wa habari Mwananchi na citizen.

    Siku ile ya uzinduzi wa bara bara ya Itigi-Chaya Rais alimuahidi yule mama mlemavu wa viungo baiskeli, sasa nataka kuandika makala ya yule mama.

    Shida yangu ni hii, Je, unaweza kunisaidia idadi ya walemavu kama yeye waliosaidiwa na Rais? Asante Naomba unijibu kupitia hapa awilafrnk@yahoo.com

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...