Discussion forum mpya – Filosofa Forum ni jukwaa jipya la malumbano ya hoja. Tangu kuanzishwa rasmi siku chache zilizopita kumekuwa na mlolongo wa wapenda hoja kujiunga na kuchangia hoja mbalimbali.
Malengo ya timu inayoendesha jukwaa hili ni kuhakikisha inampa kila mtu nafasi ya kutoa mawazo, kuuliza maswali, kuchangia hoja, n.k, bila kujali jinsia, maumbile, uwezo, cheo, kabila, itikadi au dini. Jukwaa hili limeundwa kwa kuzingatia maadili ya mtanzania. Maneno ya matusi yananaswa (detected automatically). Ni rahisi kujiunga au kuchangia hoja. Huhitaji ujuzi wa kompyuta wa hali ya juu sana kutumia. Karibu ujiunge uelimike na kuelimisha wengine.
www.filosofaforum.com
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...