Habari Waungwana
Natumaini u na afya njema hasa katika kusherekea Miaka 49 ya Mapinduzi ya Zanzibar,Pamoja na hivyo bado tuna jukumu kubwa katika kuikomboa Jamii yetu ambayo ipo katika Mazingira Magumu hasa katika upatikanaji wa habari lakini pia kutoibua Changamoto zilizopo katika Jamii huska.

Kwa kutambua umuhimu wa Jamii yetu, JAMII INFORMATION NETWORK  (JIN) ni Asasi ambayo imeamua kusogelea Jamii  katika kuibua Changamoto mbalimbali na Kuipasha Jamii hska habari. Tunapenda  kuitumia blog hii kuitangaza Blog ya Asasi ya Jamii Information Network ambayo itakuwa ikielezea mambo mbalimbali yanayofanywa na Asasi hiyo
 
               Tembelea  blog hii kila Mara          www.jamiiinformation.blogspot.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...