Hapana hapa sio migombani (Mosh) bali ni sehemu ya kiota kipya cha maraha kilichopo Boko Dovya nje kidogo ya jiji la Dar es salaam barabara ya Bagamoyo road njia panda ya Mbweni, mkono wa kushoto kutokea mjini. Kiota hiki kinatarajiwa kufunguliwa Januari 24, 2013 kwa mujibu wa meneja wake Bw. Solomon Laisser
 Wadau wakipasha moto  kiota hicho kabla ya ufungunzi rasmi Januari 24
 Mkongwe wa Old Skul DJ Seydou ndani ya nyumba. Wanaokumbuka enzi za disko la Mbowe la RSVP watakuwa wanaijua khabari yake. Naye anaahidi kufanya makubwa mambo yakinza rasmi
Mandhari mwanana. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. kibo imeanza sasa hisaje park
    hii ndo boko!!!!!!

    ReplyDelete
  2. Dah ni kitu kizuri kama hme land
    natumain mbege itakuwepo siku ya ufunguzi

    ReplyDelete
  3. Duhhh,

    Ankali ahsante sana kwa kutuletea huyu Kigogo wa U-DJ nchini Dj SeyDou ahhh ni wazi Klabu hii itakuwa funiko la mwaka 2013 ndani ya Darisalama yetu hii!

    ReplyDelete
  4. Ehhh

    Dj. Seydou nadhani ndio Mkali pekee ambaye yupo ndani ya game hadi sasa.

    Inshallah Mwenyezi amuweke kwa amani!

    ReplyDelete
  5. na mziki mkubwa wa dj seydou utawafukuza mbu, maana mbu na soud-bites mbalimbali.
    mdau
    oldskool

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...