Ankal,
Mdau katika harakati zake kutalii maeneo maarufu kwa watali toka pande zote za dunia akipeperusha jina TANZANIA kwa kutumia 'uzi' jezi inayovutia . Maeneo hayo ni pwani za SRI LANKA na Thailand ambapo watalii toka Marekani na Ulaya humiminika kwa wingi, Labda Bodi ya Utalii ifanye mpango wa kutengeneza jezi hizi nyingi na vipeperushi ili kutangaza jina na vivutio sehemu ambapo kuna 'potential' ya kuvutia watalii, tutizame jamaa akitutangaza kiaina;
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...