Mdau Shaban Leo wa Halmashauri ya wilaya ya Lindi akifurahia
baada ya kufunga pingu za maisha na mai waifu wake Pendo Kuboga wa manispaa ya Lindi pia.
Ndoa ilifungwa katika kanisa la Waadventista wasabato Mtaa wa Lindi na
Tafrija ya kuwapongeza ilifanyika katika Ukumbi wa Kanisa la Mt Andrea
Kaggwa.Picha na Abdulaziz Video.
Maharusi na Wapambe wao wakiwa kwenye nyuso za furaha.
Maharusi wakipewa Baraka ya Ndoa toka kwa Mchungaji.
Hongereni Wanandoa wapya. Mibaraka ya Mungu izidi kumiminika kwenu. Amen
ReplyDeleteEnheee ninyi Wapambe wa Maharusi Picha ya 2 juu kushoto msije mkalianzisha kwa kuwa ninyi mpo kama sample lakini mmekaa 'zero distance' kiasi kwamba yasije yakatokea Mapindizi halafu wakatokea wa kulalamika!
ReplyDeleteMara nyingi Wapambe wa Maharusi hutokea wakazimikiana na kitu kikaeleweka, pia wanaocheza Sinema wakiwa kama mtu na mpenziwe ama mtu na mkewe hutokea wakachukuana kikweli!
Kwa mtaji huu manafikiri baada ya jukumu la Upambe kwenye Harusi haiwezi tokea patashika?
Ohoooo !
ReplyDeleteWapambezzzzz picha ya pili juu,
1.Mbona mmekaa mkao wa kula?
2.Mbona mmekaa mkao wa 'Shemeji shemeji huku unazima taa'?
Je, kama mna wenzenu kila mmoja wenu hapo watawaelewa vipi?
wapambe ni mtu na mkewe acheni jazba
ReplyDeleteAny wa pili mara nyingi ndoa za kikristu wapambe lazima wawe wanandoa.
ReplyDeleteHiyo picha ya kwanza ya maharusi na hasa huo ufukwe ambao wamekaa ni tambarare ya ufukwe ambao unakuleta mpaka upande wa chuo cha maafisa tatibu lindi nilipopata diploma yangu na ndipo safari yangu ya kuusaka uhadhiri ilipoanzia, nashukuru mungu sasa nipo canada kama mwanasayansi dakitari.Na upande wa pili wa maji yaani kule kulikokua na ukijani kulikua kuna simba wengi na chui nakumbuka kila siku tulikua tunahudumia majeruhi wa chui au simba. Asante sana kwa picha hii yenye ukumbusho tosha.
ReplyDeleteWabongo kwa ngebe tu, hakuna wakufananisha.
ReplyDeletesiwafahamu lakini hongereni sana maharusi.
ReplyDeleteharusi simple isiyo na makuu
mungu awabariki katika ndoa.
Mdau Alabama USA