Mhandisi
Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni, Gerald Urio (wa pili kushoto) akitoa
maelezo ya Ujenzi wa Daraja kwa Meya wa Manispaa hiyo, Yusuph Mwenda (wa tatu kulia)
aliyeambatana na viongozi mbalimbali wa Manispaa hiyo, Serikali za Mitaa
na vyama vya siasa, kuangalia maendeleo ya ujenzi wa Daraja la Mto
Ndumbwi, Mbezi Juu, Dar es Salaam wakati wa ziara ya Meya ya uzinduzi wa
ujenzi huo mwishoni mwa wiki. Daraja hilo linajengwa kwa gharama ya
shilingi milioni 211.
Mhandisi Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni, Gerald Urio (kushoto) akimpa maelezo Meya wa Manispaa hiyo, Yusuph Mwenda (kulia) aliyeambatana na viongozi mbalimbali wa Manispaa hiyo, Serikali za Mitaa na vyama vya siasa, karika kukagua maendeleo ya ujenzi wa Daraja la Mto Ndumbwi, Mbezi Juu, Dar es Salaam wakati wa ziara ya Meya ya uzinduzi wa ujenzi huo mwishoni mwa wiki. Daraja hilo linajengwa kwa gharama ya shilingi milioni 211.
Mhandisi Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni, Gerald Urio (kushoto) akimpa maelezo Meya wa Manispaa hiyo, Yusuph Mwenda (kulia) aliyeambatana na viongozi mbalimbali wa Manispaa hiyo, Serikali za Mitaa na vyama vya siasa, karika kukagua maendeleo ya ujenzi wa Daraja la Mto Ndumbwi, Mbezi Juu, Dar es Salaam wakati wa ziara ya Meya ya uzinduzi wa ujenzi huo mwishoni mwa wiki. Daraja hilo linajengwa kwa gharama ya shilingi milioni 211.
Mstahiki
meya, Yusuph Mwenda pamoja na viongozi mbalimbali wa Kata, Serikali ya
Mtaa na wa vyama vya siasa wakikagua ujenzi wa daraja hilo.
Mwenyekiti
wa Serikali ya Mtaa wa Ndumbwi, Mbezi Juu, Salustian Kimario (wa pili
kulia) akimpa maelezo Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda (wa
tatu kulia) aliyeambatana na viongozi mbalimbali wa Manispaa hiyo na
vyama vya siasa kuangalia maendeleo ya ujenzi wa Daraja la Mto ndumbwi,
Mbezi Juu, jijini Dar es Salaam wakati Meya huyo alipofanya ziara ya
uzinduzi wa ujenzi huo, mwishoni mwa wiki.
Tembelea Libeneke la Mtaa kwa Mtaa Blog kwa Picha Zaidi
Tembelea Libeneke la Mtaa kwa Mtaa Blog kwa Picha Zaidi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...