MAELEZO YA MTOTO
  1. JINA ALILOPEWA NA BABU YAKE ABDUL  LATIF MOHAMED RAMADHAN
  1. JINA ALILOPEWA NA BABA YAKE MICHAEL LAZARO ALILOKUWA ANATUMIA SHULE
  1. BABA MZAZI LAZARO EMILIASS   ANAISHI IRINGA MAKAMBAKO
  1. BABU MZAA MAMA YAKE: MOHAMED RAMADHAN  ANAISHI MUSOMA.
  1. MAREHEMU MAMA MZAZI AMINA
  1. MAMA YAKE WA KAMBO: HAPPY ANAISHI NYEGEZI  MWANZA.
  1. AMETOWEKA TOKA 10/01/2013 KWA MATESO YA MAMA WA KAMBO.
  1. NAWAOMBA WAPENDA HAKI MUMSAIDIE KUMPATA BABA YAKE  ANAEFANYA BIASHARA YA KUUZA VIAZI MVIRINGO HUKO IRINGA PIA NI DEREVA AU BABU YANGU MZAA MAMA YAKE YUPO MUSOMA.
  1. MTOTO HUYO ALIKUWA ANASOMA NYEGEZI A MWANZA, DARASA LA TANO B MWAKA JANA.
KWA MAWASILIANO ZAIDI:
KITUO CHA POLISI OYSTERBAY – OB/RB/794/2013
BARAZA LA VIJANA MASJID RAHMAN NAMANGA MAKANGIRA MSASANI, KINONDONI - DAR ES SALAAM
0779-644 934, 0715 344 934, 0784/0715 324 057, 0777/0715 854 629
0652 00 5497, 0715 816 040, 0763 666 247

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Samahani lakini kila siku watu wengi hapa hupiga kelele juu ya utumiaji wa lugha ya kiswahili katika kueleza mambo mbali mbali.

    Na hapa pia imekuwa tena, tangazo linasema kuwa mtoto anamtafuta baba yake mzazi, lakini tena tunaambiwa kuwa ametoweka kwa mama wa kambo, sasa kapata vipi mama wa kambo ikiwa baba yake mzazi anaishi iringa na mama wa kambo tunaambiwa anaishi mwanza.

    Kuna kielelezo muhimu kimeshindwa kuelezwa hapa. Kama mnamtafuta baba mzazi wa mtoto huyu kwa nini humuanzi kwa kumuuliza mama wa kambo alipo mumewe?

    ReplyDelete
  2. Mama wa kambo ananitesa sana njoo nichukue baba...oooh njoo nichuukue baba

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...