Home
Unlabelled
MVUA YALETA MAFURIKO MKOANI MTWARA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Leo 19 Jan 2013 kimenuka Mtwara,FFU na Mabomu mitaa ya Bima ,Exim na Tanesco ilikwa baada ya Tanesco kukata Umeme ambao ulikuwa unatumiwa na wananchi ktk mkutano wa wabunge wa mikoa ya Kusini mwa Tanzania wanaopinga bomba la Ges asilia kwenda Dar mpaka Serikali ijibu hoja za wakazi wa kusini kutokana na Lasilimali hiyo ,wanachi walivamia Ofisi ya Tanesco na kudai warejeshe umeme hapo ndiyo tafrani ilipoanza ,Huku mvua kubwa sana na mafuliko yakitawala mjini hapa,Wananchi wameazimia kupambana ilikudai haki zao,inasemekana wananchi wanampango kuwaodoa Askari wote wanaoishi kwa kupanga ktk majumba yao kwani ni wasaliti na wanawapiga,Gas kwanza uhai baadae.HAITOKI Gas Mtwara mpaka kieleweke
ReplyDelete