Ngoma ya 'Asha' ya Tabora Jazz band miaka ya 70 ilikuwa haina mshindani

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Nilikuwa bado mdogo sana ila naukumbuka huu wimbo,wazazi wangu walikuwa wanaucheza kwa kwenda mbele.Kuna zile Plea(Player),walikuwa wanabandika santuri kubwa(CD),weee speaker inaweza kuwa hata kibuyu.Ankal,hii bendi ndiyo ilipiga `Dada L(R?)emi...ndiyo bwana...ndiyo bwana?

    David V

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...