Rais Jakaya Mrisho Kikwete akfungua rasmi jengo jipya la hospitali ya Hindu Mandal jijini Dar es salaam baada ya kufungua jengo lake jipya leo Januari 16, 2013.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na baadhi ya Wafanyakazi wa hospitali ya Hindu Mandal jijini Dar es salaam mara baada ya kufungua jengo lake jipya leo Januari 16, 2013.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwahutubia baadhi ya wafanyakazi na uongozi wa hospitali ya Hindu Mandal jijini Dar es salaam baada ya kufungua jengo lake jipya leo Januari 16, 2013.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na uongozi wa hospitali ya Hindu Mandal jijini Dar es salaam mara baada ya kufungua jengo lake jipya leo Januari 16, 2013.
What's with the Nazi sings on the welcome sign???
ReplyDeleteI notice that as well, is it a Nazi sign over the welcome banner
ReplyDeleteWajerumani walikopi alama hiyo ya Dini ya Ki-Hindu ambayo inavidoti vinne na kutamkwa OM kama ktk Om Ashanti au Aum Ashanti na kwenda kutumia vibaya kama vili ni ya asili yao ya Ujerumani ya Hitler kwa kuondoa vidoti vinne..
ReplyDeleteKwa ufupi Wajerumani Wanazi chini ya Hitler waliigiza alama ya Wahindu na kuanza kutumia miaka ya 1900 wakati Wahindu wamekuwa wakitumia alama yao hiyo kwa miaka zaidi ya elfu 5000 ktk dini yao ya Ki-Hindu na ktk mahekalu yao ya Ki-Hindu soma zaidi kwa kutembelea http://www.religionfacts.com/hinduism/symbols/aum.htm
Mdau
Mitaa ya Uhindini DSM
Mdau wa tatu umewapa somo zuri hao! maana kesho tu ungesikia mengine! watu hamwishi kuchokoa chokoa ya watu nyie! yatawashinda!
ReplyDeleteMdau namba tatu asante kwa kutuelimisha maana na mimi kitu cha kwanza kuona ni hiyo alama ya 'Hitler'
ReplyDeleteNa kweli hiyo NAZI sign ndio kitu cha kwanza nimekiona.....
ReplyDeleteMungu ampe ummri mrefu na afya njema daktari wetu Kaushik.
ReplyDeletealama hii ni kama msalaba hata msalaba una miaka elfu mbili tu wakati wahindu ni alama ya BC 9BEFORE CHRIST)
ReplyDeleteHongera! Hongera!Hospitali ya Hindu Mandal.Nina kumbuka marafiki walio kuwa wanafanya kazi hapo.
ReplyDeleteNimefurahi kumuona dr kaushik
ReplyDeleteMdau wa tatu, unaaochongea ni kweli wajerumani waliegeuza hiyo alama ya amani kuwa ya ubaguzi. Lakini toka Hitler aitumie hiyo alama, mtu mweusi ukipita sehemu yoyote mataifa ya Magharibi au Ulaya penye alama hiyo unajua hapo si amani. Naelewa hao wahindi wanasadia Bongo lakini si lazima watulazimishe kuleta izo alama kwani wanaelwa zinaleta kumbumbuku mbaya kwetu. Hizo alama zimepigwa marufuku Ujerumani. Na kwa Bongo nimeziona hizo alama kwenye dala dala za watu weusi vile vile, nadhani wanaelewa zinamaanisha nini.
ReplyDelete