Home
Unlabelled
RAIS KIKWETE AMALIZA ZIARA YAKE YA KISERIKALI NCHINI UFARANSA LEO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
kwa expences za watanzania sasa mheshimiwa peleka jeshi la tanzania mali maana hakuna lingine kwa mwaliko huu. ili tukumbuke Sisi watanzania tunajipandikizia chuki kwakujifanya tukiambiwa kila kitu tunatumiwa na tunajiweka pabaya. mialiko kama hii hutosikia Rober Mugabe anaalikwa kwasababu ni raisi wa dignity na anayewajua wabaya wake.
ReplyDeleteRaisi kikwete muuliza Nelson Mandela promisses alizopewa na Westerns mpaka leo nchi imekaa kama ilivokuwa wakati wa ukoloni. Tusiwe watu wakibaraka
ReplyDeleteMhhhh, Rais wetu kapata heshima kubwa sana Ufaransa. Hapa bila shaka tayari kuna mkataba wa kishenzi umeshaingiwa, maana hawajamaa hawana urafiki na mtu bure bure tu. Mungu ibariki Tanzania
ReplyDeleteKweli nimekubali wazungu ni wabaya sana!
ReplyDeleteHONGERA RAISI KIWETE!
ReplyDeleteKazi umeifanya kwa kukaribishwa kwa Matarumbeta na kuonana na Kada mbili nchini Ufaransa, yaani
(1.)KADA ya Utawala wa Serikali chini ya Waziri Mkuu Francois Hollande.
(2.)KADA ya Seneti chini ya Raisi wa Seneti ya Ufaransa.
KWA UZITO WA SAFARI YAKO TUMESHUHUDIA UKIAGWA KWA MATARUMBETA KAMA VILE NDIO UNAKARIBISHWA NCHINI HUMO, KITU HIKI NI WACHACHE HUPATA WAKIFIKA UFARANSA (WENGI HUKARIBISHWA KWA MBWEMBWE NA
!!!
KARIBU NCHINI TANZANIA UFANYE KAZI ULIYOITIMIZA HUKO UFARANSA!!!
mheshimiwa ankali michuzi haya anza kudandia mchuma tena au unasubiri upate taswira za mwisho mwisho najuwa ukirudi nawewe utaanza vakesheni zako za ughaibuni upate taswira za kwenye barafu
ReplyDelete